Mhe. Doto Mashaka Biteko(Mb) akiwa katika Balaza la Madiwani Halmashauri ya Bukombe na kuwataka Madiwani wote kufanya kazi kwa kujitolea ili kuleta maendeleo kwa kasi katika Halmashauri na Taifa kwa ujumla.
Mhe. Doto Biteko(Mb) akishauliana na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bukombe Mhe. Safari Nikas Mayala wakati wa Balaza hilo.
Baadhi ya wajumbe katika Balaza hilo
Mbunge Doto akitoa msaada kwa mlemavu
Mbunge Doto na uongozi wa Soko la Kilimahewa wakitazama shimo la choo
Mhe. Doto Mashaka Biteko (Mb) akizungumza na wafanyabiashara wa Soko la Kilimahewa alisema sasa kampeni zimeisha tufanye kazi bila kujali itikadi zetu ili tuweze kupata maendeleo, na kuwa yeye kama Mbunge hajawahi kugomesha maendeleo na hategemei kabisa suala hilo na kuwataka wananchi wa Bukombe kuwa makini na maneno yoyote yanayogomesha maendeleo.
Na mwisho aliwaahidi kuwachangia kiasi cha shilingi milioni moja na laki saba kati milioni mbili alizosema mwenyekiti wa soko hilo ili kukamilisha ujenzi wa choo hicho
good
ReplyDelete