ZIMEBAKI SIKU 3 WALIMU BUKOMBE KUSHEREHEKEA SIKU YAO


Mwalimu wa Bukombe yupo tayari kusherehekewa. Swali ni je, wewe upo tayari kumsherehekea?


Tukutane Oktoba 3 kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Ushirombo kuanzia saa 2 kamili asubuhi ambapo Mgeni wetu Rasmi atakuwa ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa.


_Walimu wetu, Fahari yetu_


#sikuyamwalimubukombe2025

#kusemanakutenda

Comments