Skip to main content
DKT. BITEKO AKIFUATILIA WABUNGE WANAVYO CHAGIA BAJETI YA NISHATI
N
aibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akifuatilia michango ya Wabunge kuhusu Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka 2025/26. Aprili 29, 2025 bungeni jijini Dodoma.
Comments
Post a Comment