Leo Disemba 12, 2023, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko wamezuru na kufanya sala kwenye kaburi la Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli nyumbani kwake, Chato mkoani Geita.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana akisaini kitabu cha wageni wakati alipozuru na kufanya sala kwenye kaburi la Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli nyumbani kwake, Chato mkoani Geita.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania
Bara, Abdulrahman Kinana akiweka shada la maua kwenye kaburi la Rais wa Awamu
ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kuzuru na kufanya sala
kwenye kaburi hilo, Chato mkoani Geita.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania
Bara, Abdulrahman Kinana na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto
Biteko wakifanya sala kwenye kaburi la Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John
Pombe Magufuli nyumbani kwake, Chato mkoani Geita.
Comments
Post a Comment