Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi wilaya ya Bukombe amewataka wazazi kutowaficha watoto wenye ulemavu badala yake wawapeleke shule.
Ameyasema hayo wakati wa ziara ya kata kwa kata alipofika Kwenye kata ya bugelenga alipokuwa akizungumza na Wanachama wa Jumuiya ya UVCCM,UWT na Jumuiya ya Wazazi.
M/Kiti ya Jumuiya ya Wazazi pia amewaonya Wazazi ambao wanachukua fedha ilikuwaozesha watoto wao na kuwakatisha masomo yao wakati serikali inatenga fedha na kwa kujenga shule na kuwapa elimu bure
Jambo jema
ReplyDelete