Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akiwasili kushiri katika viwanja vya Chuo cha Ushiriki Moshi kwaajili ya kushiriki katika Tamasha la Utamaduni la Mkoa wa Kilimanjaro lililofanyika leo Januari 22,2022 Mkoani Kilimanjaro.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chifu Hangaya Mhe.Samia Suluhu Hassani akipata picha ya pamoja na baadhi ya machifu wa Mkoa wa Kilimanjaro katika Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Kilimanjaro lililofanyika leo tarehe 22/01/2022 katika viwanja vya Chuo cha Ushirika Moshi mkoani Kilimanjaro.
Comments
Post a Comment