Waziri Biteko ashiriki Mkutano wa Asasi za Kiraia (AZAKI) uliofanyika katika ukumbi wa Royal Village jijini Dodoma
Zito Kabwe akizungumza jambo kwenye Mkutano wa Asasi za Kiraia (AZAKI) uliofanyika katika ukumbi wa Royal Village uliopo jijini Dodoma
Mwenyekiti wa bodi ya Taasisi ya Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali Madini (TEIT) Ludovick Utouh
Waziri wa Madini Doto Biteko (kushoto) akijadili jambo na Zito Kabwe (kulia) kabla ya Mkutano wa Asasi za Kiraia (AZAKI) uliofanyika katika ukumbi wa Royal Village uliopo jijini Dodoma
Waziri wa Madini Doto Biteko (katika) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa bodi ya Haki Rasilimali kabla ya Mkutano wa Asasi za Kiraia (AZAKI) uliofanyika katika ukumbi wa Royal Village jijini Dodoma
Comments
Post a Comment