Makamu wa Rais Samia Suluhu Hasani akiweka udongo katika kaburi la aliyekuwa waziri wa katiba na sheria Balozi Augustino Mahiga leo katika makaburi ya Tosamaganga Iringa
Mbunge wa Kalenga Godfrey Mgimwa akiweka udongo
Naibu spika wa bunge Dr Tulia Ackson akiweka udongo
Mwili wa Mahiga ukitolewa nyumbani kwake
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Dr Abel Nyamahanga akiweka udongo
Comments
Post a Comment