Meza kuu wakifuatilia kwa ukaribu kablasha la mapitio ya Bajeti 2018/2019 kwenye kikao cha Baraza kilichoketi kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Ya Bukombe
Madiwani wakifuatilia kwa umakini mkubwa kablasha la mapitio ya Bajeti 2018/2019 kwenye kikao cha Baraza kilichoketi kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Ya Bukombe
Wataalam wa halmashauri ya wilaya ya Bukombe wakifuatilia kwa ukaribu kablasha la mapitio ya Bajeti 2018/2019 kwenye kikao cha Baraza kilichoketi kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Ya Bukombe
Wajumbe wa kamati ya Ulinzi na usalama wakifuatilia kwa ukaribu kablasha la mapitio ya Bajeti 2018/2019 kwenye kikao cha Baraza kilichoketi kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Ya Bukombe
Diwani wa kata ya Ushirombo Mhe.Lameck Warangi akichangia mapitio ya Bajeti 2018/2019 kwenye kikao cha Baraza kilichoketi kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Ya Bukombe
Wajumbe wakiwa kikaoni
0778781669
ReplyDelete