DC NKUMBA APIGA KAMBI KWENYE UJENZI WA ZAHANATI NAMPALAHARA


 Mkuu wa Wilaya ya Bukombe Said Nkumba akiendesha zoezi la ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Nampalahara kilichopo Kata ya Busonzo


 Katibu waa Mbunge Jimbo la Bukombe Benjamin Elias Mgeta akishiriki ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Nampalahara kilichopo Kata ya Busonzo

 Hatua iliofikiwa katika ujenzi wa  zahanati ya Kijiji cha Nampalahara kilichopo Kata ya Busonzo

 Wananchi wakishiriki katika ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Nampalahara kilichopo Kata ya Busonzo

  Mkuu wa Wilaya ya Bukombe Said Nkumba akiwa na wadau wa maendeleo kutoka Bank ya NMB kwa pamoja wakishiriki katika zoezi la kuchanganya simenti na mchanga

Mkuu wa Wilaya ya Bukombe Said Nkumba akiandaa kipande cha tofali tayari kwa kumpa fundi

Comments