Wachezaji Wa Timu ya Bukombe Star
Timu ya Bukombe star mbele kwa mbele
imetwaa ubingwa wa kata ya Bukombe wilaya ya Bukombe mkoa wa Geita katika
mashindano ya Doto Cup 2019 baada ya kuichapa bila huluma timu ya Loliondo fc
ya Imalanguzu goli 4-1 kwenye mchezo wa faainali yaa kata.
Wafungaji wa magoli ya timu ya Bukombe star
Majuto Manyanda dakika ya 44 goli la oli lilifunga na Sadam Pius dakika ya 51
na goli la tatu lilifungwa na Sadamu Pius dakika ya 64 goli la nne lilifungwa
na Sadam Pius dakika ya 81.
Diwani wa kata ya Bukombe Leokadia
Masokola akimkabidhi zawadi nahodha wa timu ya Loliondo fc
Bundara Daniel
Mfungaji wa goli la timu ya Loliondo
fc Daniel Charles dakika ya 3 hadi kipenga cha mwisho timu hii hawakutikisa
tena nyavu za timu ya Bukombe star.
Nohodha wa timu ya Bukombe star
Majuto Sharo amesema malegoya timu yake nikushinda ngazi ya kata na tarafa na
kuchukuwa ubingwa wa wilaya.
Nohodha wa timu ya Loliondo fc
Bundara Daniel amesema wamepokea matoke yayo kwa moyo mmoja michezo niurafiki
na Afya wamefunga kwa halali kwa kupitia mazaifu yetu.
Diwani wa kata ya Bukombe Leokadia
Masokola amesema timu mabazo zimeshiriki zimefanya vizuri.
Masokola ameongeza kuwa zawadi za
ubingwa wakata timu ya Bukombe star wasibweteke badalake wajuwe mbele kuna kazi
kubwa ya mashindano ngazi ya tarafa.
Masokola amekabidhi zawadi ya ubingwa
wakata timu ya Bukombe star seti ya jezi na mpira thamani ya 200,000 huku Loliondo
fc wamepokea dhawadi ya mpira moja 100,000.
Comments
Post a Comment