WAAMUZI WA LIGI YA DOTO CUP WATAKIWA KUSIMAMIA SHERIA 17 ZA MPIRA WA MIGUU

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoani Geita,(GEREFA)  Joseph Kaboteakiongoza Kamati y Doto Cup 2019 katika ukaguzi wa timu hizo
 

 



Kwa upande wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mpira wa Miguu Wilaya ya Bukombe (BUFA) Bosco Mwidadi amesema katika ligi hiyo zinashiriki timu 155 na kwamba mshindi wa kwanza atajinyakulia zawadi ya Sh 500,000 na jezi seti tatu na mipira mitatu na medali moja kwa kila mchezaji, mshindi wa pili atabeba sh 300,000 jezi seti mbili na mipira miwili na medalikwa kila mchezaji mshindi wa watatu atachukuwa sh 200,000 jezi seti moja mpira mmoja



Makamu Mwenyekiti wa chama cha waamzi Wilaya ya Bukombe (FLATI) Jofrey Msakila ambaye alikuwa mwamzi wa kati katika ufunguzi huo alisema wito wa makamu mwenyekiti wa (GEREFA) chama cha waamzi kitayafanyia kazi na mwamzi atakae lalamikiwa atachukuliwa hatua.


Kikosi Cha Yanga kutoka Uyovu-Bukombe

Kikosi cha Timu ya Simba uyovu - Bukombe


Michuano ikiendelea katika ufunguzi wa Doto Cup



                                   Kama kawaida ya mashabiki wa soka uwanjani


                  Nahodha wa kikosi cha yanga (uyovu) akiwaonyesha mashabiki baada ya kukabidhiwa zawadi
  Nahodha wa kikosi cha Simba (uyovu) akikabidhiwa zawadi na Mgeni rasmi

Comments