Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Butinzya
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akikabidhi vifaa vya michezo kwa ajili wanafunzi kike wa Shule ya Sekondari Butinzya
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akikabidhi vifaa vya michezo kwa ajili wanafunzi kiume wa Shule ya Sekondari Butinzya
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Butinzya.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akikabidhi vifaa vya michezo kwa ajili wanafunzi kike wa Shule ya Sekondari Butinzya
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akikabidhi vifaa vya michezo kwa ajili wanafunzi kiume wa Shule ya Sekondari Butinzya
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Butinzya.
Mbuge wa Jimbo la Bukombe Mkoa wa Geita, Doto Biteko
amewataka walimu wa michezo shule ya sekondari Butinzya kutunza vifaa vya
michezo na kuvitumia kwa matumizi ya michezo
Biteko alitowa wito huo wakati akakabidhi vifaa vya michenzo
vyenye thamani ya sh milioni 1.2
miongoni mwa vifaa hivyo seti mbili jenzi za wasichana seti mbili
zingine za wavulana na mipira mine.
Aliwaomba walimu kuinua vipaji vya watoto na sikuvididimiza
na kuwafanyia mazoezi yakiwemo
mashindano ya kirafiki ili kukuza vipaji vyao siku moja mchezaji wa taifa au
ulaya atoke jimbo la Bukombe.
Mwalimu wa michezo shule ya Butinzya sekondari Suzana Kafumu
alisema mahitaji ya vifaa vya michezo mbali mbali na mipira mahitaji mipira
sita iliyokuwepo mipira miwili upunguvu mipira minne.
Kafumu alisema tangu shule ya sekondari kuanzishwa 2007
wanafunzi wanamichezo hawajawahi kuva jenzi tangu walikuwa wanaazima shule ya
msingi Butinzya au kutumia salezao
wakiwa kwenye michezo za kirafiki.
Kaka mkuu wa shule ya Butinzya sekondari Samson Hiya pia
mwana michezo alishukuru mbunge kuwaletea msaada wa vifaa vya michenzo hali
ambayo itawafanya kufulahi kuinua vipaji na kujenga afya na mahusiano.
Comments
Post a Comment