HII HAPA RATIBA YA KUAGA MWILI WA RUGE MUTAHABA KARIMJEE DAR KESHO

Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba umewasili nchini leo mchana, 2, Machi, 2019.
Mwili wake unatarajia kuagwa Jumamosi, 2 Machi, 2019 katika ukumbi wa Karimjee, Jijini Dar es salaam kabla ya kusafirishwa mkoani Kagera kwaajili ya mazishi yatakayofanyika Jumatatu, 3 Machi, kijijini kwao Kiziru wilayani Bukoba.
Hii hapa ni ratiba rasmi ya kuuaga mwili wake.

Comments