Waziri wa Madini, Doto Biteko amezindua bodi ya Wakurugenzi
ya STAMICO na kuwataka kuwa wabunifu katika kulifanya shirika kuwa
na tija kwa Taifa.
Aidha, amemuahidi Mwenyekiti wa bodi hiyo Men. Gen
(Mstaafu) Michael Isamuyo na wajumbe wake kuwa Wizara itatoa ushirikiano
kuifanya bodi hiyo kutekeleza majukumu yake ipasavyo.
Comments
Post a Comment