Katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akipokea zawadi ya asali mbichi kutoka kwa wazee Maarufu wa CCM Wilaya ya Bukombe.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe na Naibu Waziri wa Madini Mhe Doto Mashaka Biteko akiwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Ilani tangu 2015 hadi 2018 kwa njia ya kidigitali (Projector) kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Wilaya Bukombe.

Wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Wilaya Bukombe wakiwa kwenye kikao cha kusikiliza taarifa ya Utekelezaji wa Ilani tangu 2015 hadi 2018 ikisomwa na Mbunge wa Jimbo la Bukombe na Naibu Waziri wa Madini Mhe Doto Mashaka Biteko.
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akimpa mkono wa pongezi Mhe Doto Mashaka Biteko(Mb) baada ya kuwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Ilani tangu 2015 hadi 2018 kwa njia ya kidigitali (Projector) kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Wilaya Bukombe.
Mwenyekiti wa CCM Wilaya Bukombe Daniel Machongo akimpa mkono wa pongezi Mhe Doto Mashaka Biteko(Mb) baada ya kuwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Ilani tangu 2015 hadi 2018 baada ya kupokelewa na wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Wilaya Bukombe.
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akimkabidhi Pikipiki na kadi zake tatu Mkuu wa Polisi Wilaya Bukombe(OCD) Thedius Kaihuzi
Mbunge wa Jimbo la Bukombe na Naibu Waziri wa Madini Mhe Doto Mashaka Biteko akiwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Ilani tangu 2015 hadi 2018 kwa njia ya kidigitali (Projector) kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Wilaya Bukombe.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Wilaya Bukombe wakiwa kwenye kikao cha kusikiliza taarifa ya Utekelezaji wa Ilani tangu 2015 hadi 2018 ikisomwa na Mbunge wa Jimbo la Bukombe na Naibu Waziri wa Madini Mhe Doto Mashaka Biteko.
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akimpa mkono wa pongezi Mhe Doto Mashaka Biteko(Mb) baada ya kuwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Ilani tangu 2015 hadi 2018 kwa njia ya kidigitali (Projector) kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Wilaya Bukombe.
Mwenyekiti wa CCM Wilaya Bukombe Daniel Machongo akimpa mkono wa pongezi Mhe Doto Mashaka Biteko(Mb) baada ya kuwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Ilani tangu 2015 hadi 2018 baada ya kupokelewa na wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Wilaya Bukombe.
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akimkabidhi Pikipiki na kadi zake tatu Mkuu wa Polisi Wilaya Bukombe(OCD) Thedius Kaihuzi
Wananchi wa Wilaya ya Bukombe Mkoani Geita, wametakiwa kutoa
ushirikiano kwenye jeshi la Polisi wakati wa upelelezi wa kuwasaka wahalifu ili
jeshi hilo liweze kufanyakazi zake kwa urahisi.
Wito huo ulitolewa na Katibu Mkuu wa Ccm Taifa Bashiru Ally
wakati akikabidhi piki piki tatu zenye thamani ya sh milioni 7.3 kwa Mkuu wa Polisi Wilaya ya Bukombe kwa ufadhili wa Mbunge
wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko
ambazo zitasambazwa kwenye vituo vidogo vya polisi kwa ajili ya
kupambana na uhalifu.
Ally alisema nchini hapa polisi niwachache na wanakabiliwa na
changamoto ya upungufu wa usafiri na wamekuwa wakifanya vizuri ingawa wanakabiliwa
na changamoto hizo hali ambayo imekuwa ikileta tija kwa wananchi.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko awali akitoa Taarifa ya Utekelezaji wa
Ilani ya Ccm kwenye Mkutano Mkuu wa Wilaya ya Bukombe katika kipindi cha miaka
mitatu 2015 hadi 2018 alisema tangu mwaka huo kulikuwa na vituo vya polisi
viwili, kituo kikubwa cha Wilaya na kidogo cha Runzewe.
Biteko alisema kutokana na hali hiyo kulikuwa na uhalifu wa
ujambazi kuvamia wafanya biashara wizi wa ng,ombe na likaibuka wimbi la kutekwa
watoto wa wafugaji na polisi walipambana na kufanikisha kudhibiti uhalifu huo
hadi sasa Bukombe nishwari.
Alisema kutokana na serikali kusongeza huduma kwa wananchi
wamefanikisha kusongeza huduma ya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na
wananchi .kujenga vituo vitatu vidogo vya polisi kwa lengo kubwa la kudhibiti uhalifu na nimetoa pikipiki ili ziwalahisishie polisi kwenye vituo vipya
utendaji kazi.
Mkuu wa polisi wilaya ya Bukombe Thedius Kaihuzi alishukru
msaada huo nakuongeza kuwa piki piki watazitunza na zitawasaidia kufika kwenye
tukio kwa wakati askari ili kupambana na uhalifu nakwamba piki piki hizo
zitapelekwa kwenye kituo cha pilisi Namonge , Bukombe na Bulenga.
Comments
Post a Comment