Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)kutoka Wilaya ya Geita wakiwa tayari ukumbini kushiriki uchaguzi wa viongozi wa CCM Mkoa wa Geita.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)kutoka Wilaya ya Mbogwe wakiwa tayari ukumbini kushiriki uchaguzi wa viongozi wa CCM Mkoa wa Geita.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)kutoka Wilaya ya Bukombe wakiwa tayari ukumbini kushiriki uchaguzi wa viongozi wa CCM Mkoa wa Geita.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)kutoka Wilaya ya Nyang'wale wakiwa tayari ukumbini kushiriki uchaguzi wa viongozi wa CCM Mkoa wa Geita.
Wagombea wa nafasi mbalimbali.
Mmoja wa Wadhamini akipokea hati ya Pongezi kwa ajili ya mchango wake wa hali na mali kwa ajili ya ufanikishaji wa shughuli za uchaguzi.Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Mhe. Costantine Kanyasu akipokea hati ya Pongezi kwa ajili ya mchango wake wa hali na mali kwa ajili ya ufanikishaji wa shughuli za uchaguzi.
Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Bukombe Benjamini Elias Mgeta akipokea hati ya Pongezi kwa niaba ya Mhe. Doto Mashaka Biteko(Mb) kwa ajili ya mchango wake wa hali na mali katika ufanikishaji wa shughuli za uchaguzi.
Mwenyekiti anaemaliza mda wake Mhe. Joseph Kasheku Musukuma akifungua kikao na kukiacha wazi kwa ajili ya uchaguzi ili kuwapata viomgozi wapya.
Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel akizungumza na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa na kuwaasa kuchagua viongozi mwenye uwezo wa kufanya kazi ili kuendana na kasi ya Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa Mhe. Dkt John Pombe Magufuli na sio kutafuta cheo cha kujitambulishia
Msimamizi wa Uchaguzi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa Mhe. Dkt Hamis Kigwangala akiwasomea kanuni za uchaguzi wajumbe kabla ya uchaguzi kuanza.
Mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti Mkoa Alhaj Said Kalidushi akiomba kura Wajumbe
Mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti Mkoa John Luhemeja akiomba kura Wajumbe
Mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti Mkoa Saimon Mayengo akiomba kura Wajumbe
Mkuu wa Wilaya ya Bukombe Josephat Maganga akiikunja kura yake baada kupiga tayari kwa kuweka kwenye sanduku la kura.
Mhe. Steven Masele(Mb)Mbogwe akiiweka kura yake baada kupiga.
Wajumbe wakisherehekea ushindi wa Mwenyekiti mpya wa CCM Mkoa wa Geita Alhaj Said Kalidushi
Alhaj Said Kalidushi amechaguliwa kuwa
Mwenyekiti mpya wa Mkoa wa Geita baada ya Joseph Kasheku Musukuma kumaliza mda wake aliongoza nafasi hiyo kwa miaka mitano .
Idd Kasim Idd amechaguliwa kuwa mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM Taifa ,kupitia Mkoa wa Geita.
Akisoma matokeo kwa wajumbe wa mkutano
mkuu wa CCM mkoani hapo,msimamizi wa uchaguzi huo ,Dkt Hamis Kigwangala,aliwatangaza Wajumbe wa Halmashauri kuu ya mkoa kama ifuatavyo
Benjamin Elias Mgeta, Deogratias George Apolinali ,Sebastian Biseko,John Chenge
Luhemeja,Ernest
Nyororo,Mbaruku
Salum Mseba,Elizabeth
Kingi,Petro Lukas
Paul,Agatha
Athuman
Katibu mpya wa Itikadi na Uenezi CCM Mkoa wa Geita David Otee Hazaria.
Comments
Post a Comment