Vikosi Vya Timu zote Vikielekea Meza kuu.
Manahodha wa Timu ya Young Boys na Chui wakipokea maelekezo kutoka kwa waamuzi wa Mchezo kabla ya Mechi kuanza.
Kikosi Cha Timu ya Chui Fc kutoka Bugerenga
Kikosi Cha Timu ya Young Boys
Michuano
ya Ligi ya Doto Cup 2017 kumaliza katika hatua ya Nusu fainali baada ya kuumana kwa Timu nne ambazo ni Runzewe
Academy Fc Vs Kurugenzi Fc na Young Boys Fc Vs Chui Fc huku Runzewe Academy Fc na Chui Fc kutoka Bugerenga wakiibuka na ushindi.
Michezo hiyo iliyochezwa katika viwanja
vya Runzewe na Kilimahewa Wilayani Bukombe ilikuwa ni kuwatafuta washindi hao
na kati ya Kurugenzi na Young boys watacheza siku moja kabla ya fainali ili kumpata mshindi wa tatu ataejinyakulia
zawadi Jezi Seti moja na mpira pamoja na Cheti cha ushiriki wa michuano hiyo ya
Ligi ya Doto Cup 2017
Wadau wa Mpira wakizungumzia
wakizungumzia mwenendo wa Ligi ya Doto Cup 2017
Comments
Post a Comment