Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka
Biteko akikata utepe kwa ajili ya ufunguzi wa barabara ya Shikalibuga- Businda.
Wanakazi wa Shikalibuga wakiwa na Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko kwa pamoja wakielekea eneo la Mkutano.
Mtumishi wa Mungu akifungua Mkutano wa Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko kwa Maombi.

Diwani wa Kata ya Ushirombo akizungumza na wakazi wa Shikalibuga kwenye Mkutano wa Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akimwombea msamaha moja ya Mkazi wa Shikalibuga(mwenye shati ya mistari myekundu) baada ya Kutengwa kwa muda mrefu kwa kosa la utovu wa nidhamu kwa viongozi wa ngazi ya kijiji hicho.
Wanakazi wa Shikalibuga wakiwa na Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko kwa pamoja wakielekea eneo la Mkutano.
Mtumishi wa Mungu akifungua Mkutano wa Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko kwa Maombi.
Diwani wa Kata ya Ushirombo akizungumza na wakazi wa Shikalibuga kwenye Mkutano wa Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka
Biteko akiteta jambo na Diwani wa Kata ya Ushirombo Mhe. Lameck Warangi.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka
Biteko akizungumza na wakazi wa Shikalibuga na Viunga vyake.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka
Biteko akiwa na wananchi waliyojitokea kuuliza maswali.Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akimwombea msamaha moja ya Mkazi wa Shikalibuga(mwenye shati ya mistari myekundu) baada ya Kutengwa kwa muda mrefu kwa kosa la utovu wa nidhamu kwa viongozi wa ngazi ya kijiji hicho.
Wakazi wa Kijiji cha Shikalibuga kilichoko Kata ya Ushirombo
Wilayani Bukombe kwa ujumla bila kujali
itikadi dini wala ukabila imetakiwa kuishi kwa amani na upendo mkubwa huku
wakiheshimiana baina ya wakulima na wafugaji ili kuondoa migogoro yao na kujiletea
maendeo kwa kutumia vizuri rasili mali zao.
Rai hiyo ilitolewa na Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka
Biteko wakati akizunguza na wakazi wa
Shikalibiga na viunga vyake alipokwenda kwa ajili ya uzinduzi wa barabara ya Shikalibuga
– Businda yenye urefu wa kilimita nne
kiwango cha moramu.
Pia alimshukuru Mkandarasi kwa kazi
aliyoifanya na kumsihi Diwani wa Kata
hiyo Mhe. Lameck Warangi fuatilia kwa karibu ili kihakikisha mkandarasi huyo analiboresha
barabara hilo kwa kulishindilia vizuri.
Kwa Upande wake Diwani wa Kata ya Ushirombo Mhe. Lameck
Warangi aliwasihi wananchi hao kuachana na siasa za Januari hadi Desemba na
badala yake watumie mda wao vizuri na kufanya kazi kwa maendeleo yao sambamba
na kuziunga mkono jitihada za Mbunge wao Mhe. Biteko na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ili kukuza uchumi wao na Taifa
kwa ujumla.
Comments
Post a Comment