Mjumbe
wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akipeana mkono wa furaha na
Katibu wa CCM mkoa wa GeitaAdam Ngalawa wakati wa mapokezi hayo.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akivishwa vazi la heshima la Kabila la Wasukuma alipowasili wilayani Bukombe, leo. Anayemvisha ni Mzee wa Bukombe, Hakim Mstaafu Joseph Bulugu
Alhaj Abdallah Bulembo akishukuru baada ya kupewa heshima hiyo.
Alhaj Bulembo akiwasili ukubini kuongoza kikao cha wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Bukombe, Wajumbe wa Mabaraza ya Jumuia za Chama, Mabalozi na watendaji wa Serikali
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akijadili jambo na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Geita na Mbunge wa Bukombe Doto Mashaka Biteko wakati wa kikao hicho
Ofisa wa Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi Omari Kalolo akisalimia wakati wa kikao hicho
Ofisa kutoka Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi Fadhili Mlami akisalimia wakati wa kikao hicho
Katibu wa Siasa na Oganaizesheni Daniel Mgaya akisalimia wakati wa kikao hicho
Wajumbe ukumbini wakati wa kikao hicho.
Katibu wa CCM mkoa wa Geita Adam Ngalawa akizungumza wakati wa kikao hicho.
Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ya Bukombe Zacharia Bwire akizungumza katika kikao hicho.Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akivishwa vazi la heshima la Kabila la Wasukuma alipowasili wilayani Bukombe, leo. Anayemvisha ni Mzee wa Bukombe, Hakim Mstaafu Joseph Bulugu
Alhaj Abdallah Bulembo akishukuru baada ya kupewa heshima hiyo.
Alhaj Bulembo akiwasili ukubini kuongoza kikao cha wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Bukombe, Wajumbe wa Mabaraza ya Jumuia za Chama, Mabalozi na watendaji wa Serikali
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akijadili jambo na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Geita na Mbunge wa Bukombe Doto Mashaka Biteko wakati wa kikao hicho
Ofisa wa Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi Omari Kalolo akisalimia wakati wa kikao hicho
Ofisa kutoka Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi Fadhili Mlami akisalimia wakati wa kikao hicho
Katibu wa Siasa na Oganaizesheni Daniel Mgaya akisalimia wakati wa kikao hicho
Wajumbe ukumbini wakati wa kikao hicho.
Katibu wa CCM mkoa wa Geita Adam Ngalawa akizungumza wakati wa kikao hicho.
Wajumbe wakiwa ukumbini.
Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Wilaya ya Bukombe Jacob Butachaga
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Geita na Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akizungumza katika kikao hicho
Comments
Post a Comment