Umati wa
wakazi wa Jiji la Arusha na maeneo ya jirani ukiwa umefurika kwa wingi
kwenye Uwanja wa Kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid wakati wa zoezi la
kuaga miili ya Wanafunzi 32, Walimu wawili na Dereva waliopoteza maisha
kwa ajali ya gari iliyotokea eneo la Rhotia Wilayani Karatu hivi
karibuni. Makamu wa Rais, Mh. Samia Suluhu Hassan ndie aliongonza zoezi
hilo la kuaga.
Sehemu ya
Jeneza zenye miili ya Wanafunzi 32, Walimu wawili na Dereva waliopoteza
maisha kwa ajali ya gari iliyotokea eneo la Rhotia Wilayani Karatu hivi
karibuni, zikiwa Uwanja wa Kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid wakati wa
zoezi la kuaga lililoongozwa na Makamu wa Rais, Mh. Samia Suluhu
Hassan.
Comments
Post a Comment