Picha ya aliyepigwa risasi (Sizya Emanuel) na Askari wa wanyapori kwenye pori la akiba la kigosi Muyowosi.
Wakati
akizungumzia tukio hilo, Mhe. Doto ametoa pole kwa familia iliyopata tatizo
hilo na kuwasihi askari hao kuwa makini katika utendaji ili matukio kama hayo
yasijirudie tena.
Hii hapa kauli ya serikali kuhusu suala hilo
Mbunge
wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko ameiomba serikali kutoa suluhu ya
kudumu baina ya wananchi wa Bukombe na askari wa wanyama pori katika pori la
akiba la Kigosi Muyowosi baada ya kijana mmoja anayejishughulisha na ufugaji wa nyuki katika pori hilo aliyefahamika kwa jina la Sizya Emanuel
kupigwa risasi na baadhi ya askari hao kisogoni na kutokezea jichoni.
Hii hapa kauli ya serikali kuhusu suala hilo
Comments
Post a Comment