Maafisa wa Jeshi la Polisi wakiuweka mwili wa marehamu vizuri tayari kwa kuuaga
Kamishna wa Operasheni ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya, Mihayo Msikela(kulia) akiwa na baadhi ya viongozi wengine wakiomboleza.
Kamishna wa Operasheni ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya, Mihayo Msikela akizungumza na umati wa msiba na kuwatia moyo.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe Doto Mashaka Biteko ikitoa maneno ya faraja kwa waombolezaji.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi(W)Bukombe Mhe. Zakaria Bwire akiwakilisha Chama.
Diwani wa Kata ya Ushirombo Mhe. Lameck Waranngi akizungumza na umati wa msiba.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Bukombe Paul Cheyo akisema neno kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Bukombe.
Mjomba wa marehamu akipokea mchango wa rambirambi toka kwa kiongozi wa umoja wa wafanya biashara- Bukombe.
Maafisa wa Jeshi la Polisi wakifanya maandalizi tayari kwa kuushusha mwili wa marehemu.
Kamishna wa Operasheni ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya, Mihayo Msikela akiweka Taji.
Viongozi wa Dini kwa pamoja wakiuombea mwili wa merehemu.
Hawa ni sehemu tu ya umati wa waombolezaji.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani akisoma risala.
Kamishna wa Operasheni ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya, Mihayo Msikela akizungumza na umati wa msiba na kuwatia moyo.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe Doto Mashaka Biteko ikitoa maneno ya faraja kwa waombolezaji.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi(W)Bukombe Mhe. Zakaria Bwire akiwakilisha Chama.
Diwani wa Kata ya Ushirombo Mhe. Lameck Waranngi akizungumza na umati wa msiba.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Bukombe Paul Cheyo akisema neno kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Bukombe.
Mjomba wa marehamu akipokea mchango wa rambirambi toka kwa kiongozi wa umoja wa wafanya biashara- Bukombe.
Mama wa marehemu akiuaga mwili wa mwanae.
Mke wa Marehemu akilia kwa uchungu sana wakati wa kuuaga mwili wa mmewe.
Safari ya kuelekea eneo la maziko.
Gwaride la Heshma ya Mwisho kwa marehemu.
Mke wa Marehemu akiweka Taji.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe Doto Mashaka Biteko akiweka Taji.
Kamishna wa Oparesheni ya kuzuia na kupambana na
madawa ya kulevya Ndg Mihayo Msikela ameongongoza mamia ya wananchi wa Wilaya
ya Bukombe, Mkoa wa Geita na Taifa zima kwa ujmla wake katika mazishi ya
aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi(Oc Cid) katika Wilaya ya Kibiti Ndg Peter James
Kubezya nyumbani kwao Kijiji cha Mwalo Wilayani Bukombe.
Akitoa salamu za jeshi katika umati huo wenye huzuni
kubwa alisema familia,jamii na serikali ni pengo kubwa kwa kuondokewa na mpendwa
wetu na kuwasihi wananchi kuwafichua watu wanaojihusisha na vitendo vya kiarifu
bila woga ili nchi iendelee kukaa kwa amani kwa kuondoa jamii ya watu wachache
waovu na kuwaacha wengi wakiwa na amani na utulivu.
Mazishi hayo yaliyoudhuliwa na Mbunge wa Jimbo la
Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko na Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya Bukombe
pamoja na viongozi wa ngazi mbalimbali za kisiasa,kidini na serikali.
Mhe. Doto Biteko(Mb) amesema kuwa kamwe wanabukombe
hawatamsahau kwa ajili ya utu wake,upendo kwa watu na utumishi uliotukuka.
Awali akitoa mahubiri hayo Paroko Fabiani amesema ni wakati wa
kupata hofu ya Mungu ili kulinusuru Taifa letu liwe na amani na kuusihi umati
kuwatanguliza wenzao katika kutenda mema kama alivyokuwa Peter Kubezya.
Comments
Post a Comment