Rais mpya
wa Gambia Adama Barrow, amewasili nchini humo kuchukua hatamu za
uongozi, kufuatia kuondoka madarakani kwa rais wa mda mrefu Yahya JammehBarrow aliapishwa wiki iliyopita nchini Senegal wakati viongozi wa kieneo walipokuwa wakimshawishi Jammeh kuondoka madarakani.
Maelfu ya watu walifurika katika barabara za mji mkuu wa Gambia Banjul kumlaki rais huyo mpya.
Taarifa
zinasema Barrow atakaa katika makaazi yake wakati ukaguzi ukifanywa
katika ikulu kutambua hatari yoyote kufuatia kuondoka kwa Yahya Jammeh
kwenda uhamishoni Guinea ya Ikweta.
Maelfu kadhaa ya wanajeshi wa mataifa ya Afrika magh
Comments
Post a Comment