Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Mkuu wa mkoa wa Njombe, Christopher
Ole Sendeka wakati alipozungumza kumkaribisha aongee na watumishi wa
umma, viongozi wa dini na wananchi kwenye ukumbi wa Manispaa ya Njombe,
katika kikao cha maumuisho ya ziara yake mkoani humo Januari 27, 2017.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa umma, viongozi wa
dini na wananchi katika kikao cha majumuisho ya ziara yake ya mkoa wa
Njombe kwenye ukumbi wa manispaa hiyo mjini Njombe, Januari 27, 2017.
Kushoto ni Mkuu wa Mkoa huo, Christopher Ole Sendeka.(Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Comments
Post a Comment