Katika
siku yake ya mwisho madarakani, Rais Barack Obama amebatilisha vifungo
vya wafungwa mia tatu na thelathini, wahalifu wengi wao wakiwa wa dawa
za kulevya.Mshauri
wa Ikulu ya Marekani, Neil Eggleston, amesema kwamba mtazamo wa rais
Obama ni kwamba kila mtu anahitaji kupewa nafasi nyingine ya kurekebisha
maisha na makosa yake.
Katika
siku yake ya mwisho madarakani, Rais Barack Obama amebatilisha vifungo
vya wafungwa mia tatu na thelathini, wahalifu wengi wao wakiwa wa dawa
za kulevya. Mshauri wa Ikulu ya Marekani, Neil Eggleston, amesema kwamba
mtazamo wa rais Obama ni kwamba kila mtu anahitaji kupewa nafasi
nyingine ya kurekebisha maisha na makosa yake.
Alisema
ni idadi kubwa ya msamaha kwa wafungwa kuwahi kutolewa kwa siku
moja.katika kipindi cha miaka nane ya uongozi wake, amefanikiwa
kupunguza vifungo vya wafungwa elfu moja mia saba na kumi na watano
kuwahi kutolewa na watangulizi wake nchini Marekani.
Chanzo: BBC
Comments
Post a Comment