RAIS DKT. MAGUFULI ASHIRIKI MSIBA WA MZEE MAARUFU WA CHATO ADMIRABILIS MBABE MANYAMA (82) CHATO MKOANI GEITA

Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa pole
Bi Mugwe Mbabe ambaye ni Mke mkubwa wa Marehemu Mzee Maarufu Admirabilis
Mbabe Manyama(82) mara baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu Chato
mkoani Geita.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa pole Bi.
Regina Mbabe mke mdogo wa Marehemu Mzee Maarufu Admirabilis Mbabe (82)
Manyama mara baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu Chato mkoani Geita.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
Deodatus Manyama wakwanza (kushoto) ambaye ni mdogo wa marehemu Marehemu
Mzee Admirabilis Mbabe Manyama(82) mara baada ya kuwasili nyumbani kwa
Marehemu Chato mkoani Geita.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
Bi. Mugwe Mbabe mke mkubwa wa Marehemu Mzee Admirabilis Mbabe Manyama
mara baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu Chato mkoani Geita.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini
daftari la maombolezo mara baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu Mzee
Admirabilis Mbabe Manyama (82) Chato mkoani Geita
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
kutoa pole katika msiba huo wa Marehemu Mzee Admirabilis Mbabe Manyama
mara baada ya kuwasili nyumbani kwake Chato mkoani Geita
Mdogo wa
Marehemu Deodatus Manyama kimshukuru Rais Dkt. John Pombe Magufuli mara
baada ya kuwapa pole na kuwafariji kufuatia msiba wa Mpendwa wao
Marehemu Mzee Admirabilis Mbabe Manyama
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wafiwa katika msiba huo Chato mkoani Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka msibani mara baada ya kutoa pole. PICHA NA IKULU
Comments
Post a Comment