Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi-Bukombe Mhe. Zacharia Bwire (katikati) kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Bukombe Mhe. Josephat Maganga na kushoto kwake ni Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Bukombe Michael Bundala mwishoni ni Katibu Msaidizi Ngwanda na mwenye sutu ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Bukombe Bw. Dionis Myinga kwa pamoja wakiimba kabla ya kuketi na kuanza kikao cha Halmashauri kuu ya CCM-Bukombe.
Timu ya wataalaum wakiwa wamejumuika katika mkutano huo wa halmashauri kuu ya CCM-Bukombe.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko wa kwanza kushoto anaefuata ni katibu wa Madiwani na Diwani wa Kata ya Igulwa Mhe. Richard Mabenga akiwa na wajumbe wengine katika Mkutano huo wa Halmashauli kuu ya CCM-Bukombe.
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Bukombe Michael Bundala akiwamesimama kwa aijili ya utambulisho.
Makatibu wa Jumuiya mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Wilaya ya Bukombe wakiwa katika umakini wa kusikiliza.
Picha ya baadhi ya wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM-Bukombe wakiwa tayari kwa kusikiliza taarifa ya Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko kwa yaliyojili na utekelezaji wake tangu Julai-Desemba 2016 iliwa ni dusturi yake kwa kila baada ya miezi sita kutoa taarifa ka hiyo.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko wa kwanza kushoto anaefuata ni katibu wa Madiwani na Diwani wa Kata ya Igulwa Mhe. Richard Mabenga akiwa na wajumbe wengine katika Mkutano huo wa Halmashauli kuu ya CCM-Bukombe.
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Bukombe Michael Bundala akiwamesimama kwa aijili ya utambulisho.
Makatibu wa Jumuiya mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Wilaya ya Bukombe wakiwa katika umakini wa kusikiliza.
Na Taarifa ya yailiyojili na utendaji wa Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Dto Mashaka Biteko tangu Julai-Desemba 2016 ameitoa kama ifuatavyo;
Kiambatisho NA1
ZIARA YA MBUNGE WA
JIMBO LA BUKOMBE KUANZIA TAREHE 19.07.2016
NUSU YA PILI YA
MWAKA WA KWANZA
|
||||
TAREHE
|
KATA
|
MAHALI MKUTANO
ULIPOFANYIKIA
|
JUMLA YA MASWALI
NA VIPENGELE VYAKE
|
YALIYOJITOKEZA
|
19/07/2016
|
RUNZEWE MAGHARIBI
|
KIJIJI CHA MSANGILA
|
60
|
·
Kituo cha Afya
·
Maji
·
Kucheleweshewa kwa pembejeo za kilimo.
·
Kupata soko la udaga.
·
Barabara kuunganisha vijiji
·
TASAF kuna changamoto.
·
Upungufu wa nyumba za walimu.
·
Mahusiano mabaya kati ya wananchi na wahifadhi.
·
Elimu itolewe juu ya wajasiriamali.
·
Wafugaji wapewe Eneo la Malisho.
|
20/07/2016
|
KATOME
|
KIJIJI
CHA BUGAMA
|
15
|
·
Huduma
ya Afya hafifu.
·
Mzani
wa LULA badala ya Digital.
·
Dawa
ya pamba feki.
·
Wakulima
kukatwa fedha kwenye zao la pamba.
·
Baraza
la Madiwani liwe na Mwakilishi toka kundi la walemavu.
|
20/07/2016
|
IGULWA
|
KIJIJI
CHA BUNTUBILI
|
42
|
·
Wafugaji
kutengewa Eneo la kuchungia.
·
Ushuru
mdogo mdogo bado upo.
·
Dawa
feki ya pamba.
·
Manyanyaso
kwa wananchi juu ya wahifadhi.
·
Ukosefu
wa Dawa Hospitali ya (W).
·
TASAF
Igulwa hakuna.
·
Upimaji
wa Mji Kata Igulwa.
·
Uchimbaji
mdogomdogo wa madini.
·
Maji.
·
Kujenga
Sekondari Igulwa.
·
S/Msingi
Buntubiri walimu watoke saa 8:30 Mchana.
·
Kiwanda
cha kusindika Asali.
·
Chuo
cha Veta.
·
S/Msingi
Igulwa kupewa mifuko ya CEMENT 20 (MB)
|
27/07/2016
|
LYAMBAMGONGO
|
KIJIJI
CHA LYAMBAMGONGO
|
44
|
·
Nyakumbu
secondary wanafunzi wana changishwa Tsh: 450,000/=
·
Shule
zenye ufaulu mzuri zawadi.
·
Maji
katika S/Msingi.
·
Kituo
cha Afya.
·
Wanafunzi
kuacha shule.
·
Kipimo
cha Mozambique.
·
Umeme
kupitia kando rami.
·
Mbegu
ya pamba feki na dawa feki.
·
Nyumba
za walimu.
·
Mizanani
ya digital inawaibia
·
Barabara
·
Gari
la wagonjwa Lyambamgongo
|
28/07/2016
|
BUSONZO
|
KIJIJI
CHA NAMPALAHARA GENGENI
|
38
|
·
VEO
Nampalahara kunyanyasa wananchi.
·
Mzani
wakulima wanahitaji wa rula.
·
TASAF
fedha zinazotolewa ni kidogo mf 40,000 kwa familia kubwa.
·
Maeneo
ya wachimbaji wadogo wadogo.
·
Sekondari
ya Busonzo ifunguliwe.
·
Maji
ya kisima kirefu.
·
Mgonjwa
wa kansa atibiwa.
·
Mnada
wa Busonzo asilimia wanapata kikundi kidogo badala ya Kata.
·
Kituo
cha Afya hakuna kwenye kata hii.
·
S/Msingi
Gengeni Mbuge Msaada kusaidia ujenzi CEMENT Mifumo 50.
|
02/08/2016
|
BULANGWA
|
USHIROMBO
SEKONDARI
|
46
|
·
Walimu
waliosimamia mtihani kidato IV 2015 hawakulipwa.
·
Walimu
wa sayansi ni wachache sana.
·
Walimu
hawana vitambulisho.
·
Walimu
wapya hawana mshahara.
·
Madai
ya walimu bado kunachangamoto.
·
Watoto
wa shule kukaa kumbi za video.
·
Walimu
wapewe motisha.
·
Umeme
haujasambazwa vya kutosha
·
Upungufu
samani za Ofisi .
·
Michango
ya vyeti vya mgambo.
·
Mashirika
mbalimbali yasaidie Elimu.
·
Mchango
ushirombo sekondari 2,700,000/=kwenye mfuko wa waalimu (Mb)
|
04/08/2016
|
KATENTE
|
HOSPITAL
YA (W)
|
42
|
·
Kazi
za Fedha zitokanazo na mfuko wa Jimbo.
·
Umeme
kutosambaa pote.
·
Waandishi
wa habari kutoa taarifa za uongo.
·
Clinic
ya baba, Mama na watoto ni ndogo sana.
·
Maji
hakuna.
·
Chumba
cha upasuaji hakina ubora.
·
Madai
ya watumishi.
·
Ultrasound
iliyopo haitoshi.
·
Uhaba
wa watumishi.
·
Zabuni
za majengo yote Hospital watumishi washirikishwe.
·
Kichomea
taka hakifanyi kazi.
·
Watumishi
kupandishwa vyeo.
|
04/08/2016
|
USHIROMBO
|
KIJIJI
CHA BUSINDA
|
24
|
·
Barabara.
·
UMWAPA
unakata Pamba.
·
Pembejeo
zifike muda mwafaka.
·
TASAF
inachangamoto.
·
Kituo
cha Afya.
·
Matibabu
ya jino yamepanda sana.
·
Msindikwa
wapate shule.
·
Umeme.
·
Maji.
|
05/08/2016
|
RUNZEWE
MASHARIKI
|
KIJIJI
CHA BULUMBAGA
|
6
|
·
Wafugaji
kulisha shamba na kumpiga mwenye shamba.
·
MWL
Mkuu kuwa na mgogoro
·
Vifaa
vya michezo.
|
09/10/2016
|
BUGELENGA
|
BUFANKA
|
27
|
·
Kuto
kamilika Zahanati ya Bufanka.
·
Choo
cha S/Msingi Bufanka kutokamilika.
·
Upungufu
wa madawati S/Msing .
·
Maji
ya visima virefu.
·
Wakulima
waliokatwa pembejeo warudishiwe gharama zao.
·
TASAF
inachangamoto kubwa sana.
·
Vituo
cha Afya msasani lini kitaanza kazi.
·
Milioni
Hamsini zitapatikana lini.
·
Elimu
bure ukomo wake juu ya wananchi.
|
10/10/2016
|
BULEGA
|
KIJIJI
CHA KAKOYOYO
|
40
|
·
Pesheni
kwa wazee.
·
Barabara
toka kakoyoyo hadi Butinzya.
·
Azimio
kiwe Kijiji.
·
Wakulima
wakikatwa zao la pamba.
·
Maeneo
ya malisho ya mifugo.
·
TASAF
na changamoto.
·
Milioni
Hamsini.
·
Uhitaji
wa Chuo cha Veta Bukombe.
·
Upungufu
wa walimu.
·
Maji.
·
Mtu
mwenye bima akanunue dawa.
·
Upungufu
wa madawati.
·
Walemavu
na wajane wasaidiwe.
·
Wahudumu
vijiji wapate baiskeli.
|
11/10/2016
|
UYOVU
|
S/MSINGI
KAPWANI
|
13
|
·
Kupata
vifaa vya michezo.
·
Kupandishwa
kwa Madaraja.
·
Kwa
walimu na Mishahara yao.
·
Fedha
za mfuko wa Jimbo kujenga choo cha S/Msingi Kapwani.
·
Doto
CUP washerikishwe Netball .
·
Walimu
kufanya kazi kwenye Mazingira magumu.
·
Walimu
walioajiriwa 2013 hawa kulipwa.
·
Kituo
cha michezo (W) Bukombe kipo S/Msingi Kapwani.
|
11/10/2016
|
UYOVU
|
WACHUNGAJI
WOTE TARAFA YA SILOKA
|
·
Maeneo
ya wachimbaji.
·
Upungufu
wa Madarasa.
·
Upungufu
wa vitu vya Afya na Zahanati.
·
Wachungaji
Ofisi za Serikali wana bezwa na viongozi.
·
Mahakama
ya mwanzo Msasa imekithiri rushwa
·
Kituo cha Afya Uyovu kina upungufu wa dawa.
·
Wazee
vikongwe kukoswa matibabu.
·
Baadhi
ya wanasiasa wanapotosha Umma.
·
TASAF
bado inachanga moto.
·
Ukosefu
wa S/Msingi Masambi kunachangia watoto kugongwa gari.
·
Makanisa
baadhi yao wanazuiliwa kikesha.
|
|
12/10/2016
|
NAMONGE
|
MJI
MWEMA
|
39
|
·
S/Msingi
Mji Mwema watoto kutofundisha.
·
Barabara
toka Bugege, Mji mwema ichakaya hadi Namalandula.
·
Eneo
la mifugo kuchungia.
·
Mwaka
huu Pembejeo zipatikane mbegu bora na dawa zake.
·
S/Msingi
Mji Mwema walimu kutokukaa shuleni.
·
Zahanati
kila kijiji.
·
Maji.
·
Manyanyaso
toka kwa wahifadhi.
·
Kituo
cha Afya Namonge.
·
Veo
Mji mwema kutokukaa Ofisini .
·
Zao
la Tumbaku kuna mgogoro.
·
Milioni
Hamsini zinakuja lini.
·
Pesheni
kwa wazee.
·
Umeme.
·
Pembejeo
hufika nje na wakati.
·
Umeme
bado sana Bukombe.
|
04/11/2016
|
MHE MBUNGE
|
UYOVU
NA BUSONZO
|
KUKAGUA
MIRADI
|
·
Ujenzi
wa vyumba vya madarasa na choo Ibamba S/Msingi.
·
Barabara
toka Uyovu hadi Busonzo
|
05/11/2016
|
IGULWA
|
KIJIJI
CHA KAPELA
|
26
|
·
Barabara
za mitaa Igulwa.
·
Maji.
·
Umeme.
·
Milioni
Hamsini.
·
Kupata
Eneo la kuchimba wa chimbaji wadogo wadogo.
|
06/11/2016
|
UYOVU
|
KIJIJI
CHA AZIMIO
|
·
Azimio
hakuna S/Msingi
·
Ushuru
mdogo mdogo bado unatozwa
·
Mgogoro
wa kisiasa Azimio
·
Eneo
la kuchimba wachimbaji wadogo wadogo
|
|
18/11/2016
|
NAMONGE
|
KIJIJI
CHA NAMONGE, Mhe. Mbunge,madiwani na Kamati ya maafa ya Wilaya walitembelea
wahanga walioathirika na mvua iliyoambatana upepo
|
FARAJA NA MSAADA
|
·
Ghala
la Tumbaku
·
S/Msingi
Namonge madarasa 3
·
Baadhi
ya nyumba za wananchi
·
Nyumba
za Ibada kuezuliwa
·
Mhe.
Mbunge alitoa msaada kwa baadhi ya waathirika hasa wajane na wasiojiweza
kabisa pamoja na makanisa
|
01/12/2016
|
BULEGA
|
Kijiji
cha Bulega
|
Mbunge
kushirikiana na wananchi
|
·
Kujitolea
kusomba mawe kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa S/M Bulega
|
01/12/2016
|
BUTINZYA
|
Kijiji
cha Mbula
|
Mbunge
kutembelea shule ya S/M Mbula iliyoezuliwa na mvua iliyoambatana na upepo
|
·
Darasa
moja kuezuliwa na kudondosha ukuta
·
Mbunge
alitoa kiasi cha fedha kwa ajili ya ukarabati wa darasa hilo
|
Comments
Post a Comment