Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akisalimiana na viongozi wa Kitongoji cha Azimio Kata ya Uyovu alipowasili hapo kwa ajili ya mkutano wa hadhara
Diwani wa Kata ya Uyovu Mhe. Usuph Fungameza na pembeni ni mwanachi wa Kitongoji hicho akimlalamikia Diwani huyo kwa kitendo cha mkukkaribisha mwenyekiti wa kitongoji hicho kufungua mkutano ambaye wananchi hao walimkataa kupitia mkutano wa hadhara.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akiendeleza mkutano ndani ya mvua na wananchi wa Kitongoji cha Azimio
Picha ya wananchi wa kitongoji cha Azimio Kata ya Uyovu wakionyesha upendo na uhitaji wao juu ya Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko kwa kumsikiliza ndani ya mvua ikiwa inanyesha.
Mhe. Biteko aliyasema hayo kwenye mkutano wa Hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Ibamba Kata ya Uyovu alipokwenda kuonana na wananchi ili kujadiliana shughuli za maendeleo na kusikiliza kero zao.
Alisema inahitajika nguvu ya pamoja ili kuhakikisha wana maliza changamoto za eneo hilo, zikiwemo ukosefu wa miundo mbinu ya barabara, kituo cha Afya, miradi ya maji na upungufu wa Shule hali inayowasababishia wanafunzi kusoma darasa moja wakiwa wamebanana sana huku wengine wakisomea nje huku akiitolea mfano shule ya msingi Ibamba yenye idadi ya wanafunzi 1200 kwa darasa la kwanza peke yake .
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko alisema yupo tayari kushirikiana na vijana hao katika kujikwamua na wimbi la umaskini huku akiwasihi wajitokeze kwa wingi kwenye eneo lililoonekana na madini katika Pori la Halmashauri ya Bukombe(Kerezia) na kujishughulisha kwa kadri mtu anavyoweza huku akiwasihi watu wenye leseni ya uchimabi wa madini katika maeneo hayo kulegeza masharti ili watu wenye uwezo wa chini waweze kushiriki kujitafutia riziki katika eneo hilo.
Diwani wa Kata ya Uyovu Mhe. Usuph Fungameza na pembeni ni mwanachi wa Kitongoji hicho akimlalamikia Diwani huyo kwa kitendo cha mkukkaribisha mwenyekiti wa kitongoji hicho kufungua mkutano ambaye wananchi hao walimkataa kupitia mkutano wa hadhara.
Wananchi wakiwa katika umakini wa kusikiliza Mbunge wao Mhe. Doto Mashaka Biteko.
Picha ya wananchi wa kitongoji cha Azimio Kata ya Uyovu wakionyesha upendo na uhitaji wao juu ya Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko kwa kumsikiliza ndani ya mvua ikiwa inanyesha.
Mbunge wa
Jimbo la Bukombe Mkoani Geita,Mhe. Doto
Mashaka Biteko
amewataka wananchi wa Kitongoji cha Azimio kilichoko katika Kijiji cha Ibamba hasa vijana kuachana na siasa zisizo na tija badala yake kuanzisha vikundi mbalimbali vya maendeleo ili kunufaika na serikali yao kwa kujiletea maendeleo yao kwa mtu mmojammoja na kwa haraka.
amewataka wananchi wa Kitongoji cha Azimio kilichoko katika Kijiji cha Ibamba hasa vijana kuachana na siasa zisizo na tija badala yake kuanzisha vikundi mbalimbali vya maendeleo ili kunufaika na serikali yao kwa kujiletea maendeleo yao kwa mtu mmojammoja na kwa haraka.
Mhe. Biteko aliyasema hayo kwenye mkutano wa Hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Ibamba Kata ya Uyovu alipokwenda kuonana na wananchi ili kujadiliana shughuli za maendeleo na kusikiliza kero zao.
Alisema inahitajika nguvu ya pamoja ili kuhakikisha wana maliza changamoto za eneo hilo, zikiwemo ukosefu wa miundo mbinu ya barabara, kituo cha Afya, miradi ya maji na upungufu wa Shule hali inayowasababishia wanafunzi kusoma darasa moja wakiwa wamebanana sana huku wengine wakisomea nje huku akiitolea mfano shule ya msingi Ibamba yenye idadi ya wanafunzi 1200 kwa darasa la kwanza peke yake .
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko alisema yupo tayari kushirikiana na vijana hao katika kujikwamua na wimbi la umaskini huku akiwasihi wajitokeze kwa wingi kwenye eneo lililoonekana na madini katika Pori la Halmashauri ya Bukombe(Kerezia) na kujishughulisha kwa kadri mtu anavyoweza huku akiwasihi watu wenye leseni ya uchimabi wa madini katika maeneo hayo kulegeza masharti ili watu wenye uwezo wa chini waweze kushiriki kujitafutia riziki katika eneo hilo.
Comments
Post a Comment