Rais Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa
Marehemu Mzee Joseph Mungai, aliewahi kuwa Waziri katika Wizara
mbalimbali za Serikali ya Jamhuri ya Muungano kuanzia Awamu ya kwanza
mpaka ya nne, ulioagwa leo katika ukumbi wa Karimjee Jijini Dar es
salaam.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimpa pole mjane wa Marehemu Mzee Joseph Mungai.
Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Mh. Benjamin Mkapa akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa
Marehemu Mzee Joseph Mungai, aliewahi kuwa Waziri katika Wizara
mbalimbali za Serikali ya Jamhuri ya Muungano kuanzia Awamu ya kwanza
mpaka ya nne, ulioagwa leo katika ukumbi wa Karimjee Jijini Dar es
salaam.
Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohamed Gharib Bilal akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa
Marehemu Mzee Joseph Mungai, aliewahi kuwa Waziri katika Wizara
mbalimbali za Serikali ya Jamhuri ya Muungano kuanzia Awamu ya kwanza
mpaka ya nne, ulioagwa leo katika ukumbi wa Karimjee Jijini Dar es
salaam.
Rais
Dkt. John Pombe Magufuli (wa nne kushoto), Rais Mstaafu wa awamu ya
tatu, Mh. Benjamin Mkapa (wa tatu kushoto), Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt.
Mohamed Gharib Bilal (wa tatu kulia), Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick
Sumaye (kushoto), Mke wa Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mama Salma
Kikwete (kulia) pamoja na viongozi wengine wakifatilia wasifu wa
Marehemu Mzee Mungai, uliokuwa ukisomwa na Mtoto wake Mkubwa, Jimmy
Mungai.
Comments
Post a Comment