Mhandisi wa ujenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe Eng. Chacha M. Moseti (mwenye shati nyeupe) ikimweleza Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko kuwa hutua zilizofikia katika ujenzi huo ni za siku arobaini tu na kumhakikishia kuwa desemba 2016 ujenzi huo utakuwa tayari umekamilika.
Mafundi wakiendelea na Kazi.
Picha ya Hatua ya majengo ya vyuma vinane vya madarasa katika Shule ya Msingi Ibamba baada ya Serikali kutuoa fedha kwa ajili ya kupunguza changamoto za wanafunzi kukaa na kusomea nje.
Comments
Post a Comment