Waziri wa Maji na Umwagiaji, Mhe. Inj. Gerson Lwenge akisaini kitabu cha wageni kwenye Ofisi ya Katibu Tawala wa Mkoa baada ya kuwasili katika Mkoa wa Geita kwa ziara ya kukagua na kungalia maenendeleo ya miradi ya maji katika Mkoa huo wa Geita.
Waziri wa Maji na Umwagiaji, Mhe. Inj. Gerson Lwenge akisaini Kitabu cha wageni katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita.
Waziri wa Maji na Umwagiaji, Mhe. Inj. Gerson Lwenge akizungumza na wadau wa Maji katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita
Waziri wa Maji na Umwagiaji, Mhe. Inj. Gerson Lwenge akisaini Kitabu cha wageni katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita.
Mhandisi wa Maji wa Mkoa wa Geita Inj. Imaculate Rafael akitoa taarifa na changamoto za maendeleo ya Miradi ya Maji katika Mkoa wa Geita kwa Waziri wa Maji na Umwagiaji, Mhe. Inj. Gerson Lwenge baada ya kuwasili Mkoani hapo kwa ziara.
Waziri wa Maji na Umwagiaji, Mhe. Inj. Gerson Lwenge akizungumza na wadau wa Maji katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita
Comments
Post a Comment