Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akibadilishana mawazo na Diwani wa Kata ya Bulega kabla kikao kuanza cha wajumbe na wazee wa Kitonoji cha Azimio
Diwani wa Kata ya Bulega Mhe. Eric Kagoma akizungumza na wakazi wa Kitongoji cha Azimio
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akizungumza na wakazi wa Kitongoji cha Azimio
Baadhi ya wajumbe wakimsikiliza kwa makini Mhe. Doto Mashaka Biteko(Mb) akizungumza na wakazi wa Kitongoji cha Azimio
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akimsikiliza mlemavu wa miguu kwa ukaribu zaidi.
Wajumbe wakiwa wametulia wakati kikao kikiendelea
Mwenyekiti wa Kitongoji cha Azimio akifungua kikao na kukiacha wazi tayari kwa majadiliano.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akizungumza na wakazi wa Kitongoji cha Azimio
Baadhi ya wajumbe wakimsikiliza kwa makini Mhe. Doto Mashaka Biteko(Mb) akizungumza na wakazi wa Kitongoji cha Azimio
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akimsikiliza mlemavu wa miguu kwa ukaribu zaidi.
Comments
Post a Comment