Mbunge wa Jimbo la Busanda Mhe. Laurensia Bukwimba akiendesha kikao cha kwanza cha bodi
ya barabara leo kwa muda baada ya Mkuu wa Mkoa wa Geita kupata dharula wa pili kutoka kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa Bwn Gesimba wakiwa katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akizungumzia changamoto za Barabara katika Jimbo la Bukombe.
Wajumbe wa kikao wakifuatilia makabrasha ya kikao
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akizungumzia changamoto za Barabara katika Jimbo la Bukombe.
Diwani wa Kata ya Bugulula na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Geita Mhe. Elisha Lupunga kizungumzia hali halisi ya miundo mbinu ya Barabara katika Kata yake na Halmashuri nzima ya Geita.
Comments
Post a Comment