Namsega Fc yapata Ushindi katika Ligi ya Doto Cup-Bukombe

DOTO CUP


Timu ya Namsega  imeweza kuvuka hatua ya 8 bora michuano ya kombe la Doto Cup  baada ya kuifunga goli 1-0  timu ya Buntubili katika mechi ya kwanza  iliyochezewa katika uwanja wa Halmashauri ya Bukombe ulioko Kilimahewa mjini Ushirombo Wilaya ya Bukombe Mkoani Geita .

Mechi ya kwanza ya timu hizo iliyochezwa Mechi hiyo iliyohudhuliwa na mamia ya mashabiki katika uwanja wa Kilimahewa Timu ya Namsega ilichapa gori 1 Timu ya Buntubili Fc dakika ya 68  kupitia kwa kiungo mshambuliaji Richard Bitungwa.


Comments