MWENYEKITI MPYA WA CCM RAIS DKT MAGUFULI APOKELEWA KWA VIFIJO NA NDEREMO NA MAMIA YA WANA-CCM WA DAR ES SALAAM


Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akiwasalimia wananchi na wanachama wa CCM waliofika kumlaki mara baada ya kuwasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo
Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akiendelea kuwasalimia wananchi na wanachama wa CCM waliomlaki kwa shauku alipowasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mwenyekiti mpya wa chama hicho Rais Dkt John Pombe Magufuli,mara baada ya kuingia ofisini kwake na kusaini kitabu cha wageni na kisha kuwasalimia Wanachama na Wananchi waliofika kumlaki mapema leo Nje ya Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Dar es Salaam
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida akizungumza kama Mwenyeji wa mapokezi ya Mwenyekiti wa CCM Rais Dk, John Magufuli.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye akimkaribisha Kinana kumkariisha Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. Magufuli kuzungumza na wana CCM na wananchi, Nje ya Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Dar es Salaam, leo
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimkaribisha Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa kabla ya kumkaribisha Dk. Magufuli
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi na wanachama wa CCM mbalimbali waliofika kumlaki Mwenyekiti mpya wa chama hicho,Rais Dkt John Pombe Magufuli .

Wananchi wakifuatilia ujio wa Mwenyekiti Mpya wa CCM,Dkt John Pombe Magufuli

Baadhi ya Wanahabari wakiwa kazini.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. Johnn Magufuli akipokewa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipowasili leo, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, ikiwa ni mara yake ya kwanza kufika katika ofisi hiyo, akiwa Mwenyekiti wa Chama. Kulia ni Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akisalimiana na Mkuu wa Mkoa Mh.Paul Makonda mara baada ya kuwasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo



Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akizungumza na wananchi na wanachama wa CCM waliomlaki kwa shauku alipowasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo 


Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akipiga tumba baada ya kuongea na wana-CCM nje ya Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM jijini Dar es es salaam leo agosti 12, 2016,huku umati mkubwa wa Wanachama na wananchi wakifuatilia. 

 Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli akiteta na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakati alipokaribishwa kwenye Ofisi ndogo ya CCm jijini Dar es salaam na kuzungumza na Wana CCM na wananchi Agosti 12, 2016
 Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli akiteta na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakati alipokaribishwa kwenye Ofisi ndogo ya CCm jijini Dar es salaam na kuzungumza na Wana CCM na wananchi Agosti 12, 2016.

Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akisaini kitabu baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia), kumuonyesha Ofisi yake Mwenyekiti huyo, alipowasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, leo. Kushoto ni Wazir Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, Naibu Spika wa Bunge Dk. Tulia na Mweyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida


Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana (kulia) akitoa maneno ya kumkaribisha rasmi kwenye Ofisi yake ya Uenyekiti wa CCM, Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli.






















Comments