Naibu Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani(kushoto)naDotoMashakaBiteko[(Mb)wa nne kulia] pamoja na viongozi wa Wakala wa Baraba TANROADS wakiwa mpakani kwa mapokezi ya Waziri huyo.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe Mhe. Doto Mashaka Biteko akisalimiana na Katibu Tawala wa Wilaya ya Bukombe Bw.Paul Cheyo kwenye ziara ya
Naibu Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani Wilayani Bukombe.
Naibu Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bukombe
Comments
Post a Comment