Picha ya baadhi ya vyumba vya madarasa ya Shule ya Sekondari Runzewe
Jengo la Utawala
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Runzewe
Akizungumza Mkuu wa Shule hiyo Mwl Renatus Bahati Halidi amewashukuru Walimu,Wazazi na wanafunzi kwa ujmla pamoja uongozi wa ngazi za juu kwa ushirikiano wao kwa kufanikisha ufaulu wa wanafunzi hao na kufafanua matokeo hayo kama ifuatavyo;
- Division I- 40
III- 20
IV- 0
0- 0
Comments
Post a Comment