Kiungo mshambuliaji wa Timu ya Ituga FC,Gilad Lukiko" akiichambua
ngome ya Timu Nasihukulu, katika mchezo uliopigwa jioni hii, ikiwa ni mchezo wa Fainali
ya Mashindano ya Kombe la Doto Cup ngazi ya Kata uliochezwa jioni ya leo
kwenye uwanja wa Shule ya Msingi Bukombe
Wachezaji wa Ituga fc na mashabiki wao wakishangilia ushindi wao dhidi ya Nasihukulu fc
Mwenyekiti wa Kamati ya usimamizi wa ligi ya Doto Cup akitoa maelekezo kuhusu zawadi za washindi
Akizungumza Mbunge wao Mhe Doto Mashaka Biteko mara baada ya mchezo kuisha amezipongeza timu zote zilizojitokeza kushiliki ligi hiyo na kuwasihi walioshinda kuongeaza juhudu kwenye ngazi zinazofuata iliwaweze kufanya vizuri na hatimaye kupata ushindi nakwa upande wa walioshindwa amewaeleza wasikate tamaa kuendeleza vipaji vyao
Wachezaji wa Ituga fc na mashabiki wao wakishangilia ushindi wao dhidi ya Nasihukulu fc
Mwenyekiti wa Kamati ya usimamizi wa ligi ya Doto Cup akitoa maelekezo kuhusu zawadi za washindi
Timu ya Ituga Fc iliyopo Kata ya Bukombe Wilayani Bukombe Mkoani Geita leo
imejichukulia zawadi ya kiasi cha
shilingi elfu hamisini na mpira moja baada ya kuifunga gori 2-0 Timu ya Nasihukulu
Fc katika hatua ya fainali ya vijiji vinavyounda Kata ya Bukombe katika ligi ya Doto Cup iliyohitimisha hii leo katika uwanja wa Shule ya msingi Bukombe.
Mechi hiyo iliyohudhuliwa na mamia ya mashabiki pamoja na Mbunge wao Mhe. Doto Mashaka Biteko katika uwanja
wa Shule ya msingi Bukombe Timu ya Ituga fc iliifunga gori la kwanza Timu ya Nasihukulu Fc dakika
ya 22 kipindi cha pili kupitia kwa kiungo mshambuliaji Gilad Lukiko na kuongezwa tena dakika ya 40 kipitia kwa mchezaji huyohuyo
Hadi dakika tisini ya mchezo huo Timu ya Nasihukulu fc
haikupata hata gori la kufutia chozi pamoja na jitihada za golikipa kuingia uwanjani kutafuta goli .
Akizungumza Mbunge wao Mhe Doto Mashaka Biteko mara baada ya mchezo kuisha amezipongeza timu zote zilizojitokeza kushiliki ligi hiyo na kuwasihi walioshinda kuongeaza juhudu kwenye ngazi zinazofuata iliwaweze kufanya vizuri na hatimaye kupata ushindi nakwa upande wa walioshindwa amewaeleza wasikate tamaa kuendeleza vipaji vyao
ili kuendeleza vipaji vyao.
Comments
Post a Comment