Rais Magufuli kateua wakuu wa wilaya 139, mabadiliko madogo kwa wakuu wa mikoa



Taarifa kutoka Ikulu ya Tanzania leo June 26 inasema Rais John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko kwenye nafasi za wakuu wa Mikoa pamoja na wakuu wa Wilaya,kwenye mabadiiko hayo amewateua jumla ya wakuu wa wilaya 139.
Mabadiliko haya yanamhusu aliyekua mkuu wa Wilaya ya Sengerema Bi.Zainab R. Telack kuwa mkuu mkoa wa Shinyanga  ambaye anajaza nafasi iliyoachwa wazi na aliyekua mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi.Anna Kilango Malecela.
Mwingine aliyehusishwa na mabadiliko haya ni pamoja na Dkt Binilith Satano Mahenge kuwa mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Dkt. Satano anajaza nafasi ilyoachwa wazi na aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Bw.Said Thabit Mwambungu ambaye amehamishiwa Ofisi ya Waziri Mkuu Dar es salaam ambapo atapangiwa majukumu mengine.
Mwingine  aliyeteuliwa ni Dkt. Charles F Mlingwa ambaye ameteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa wa Mara  na anajaza nafasi iliyoachwa wazi na Bw.Stanslaus Magesa Mulongo  ambaye uteuzi wake ulitenguliwa.
Ifuatayo ni orodha  wakuu  wa Wilaya wapya  na wilaya zao.


  1. Arusha            Mrisho Mashaka Gambo
  2. Arumeru            Alexander Pastory Mnyeti
  3. Ngorongoro            Rashid Mfaume Taka
  4. Longido            Daniel Geofrey Chongolo
  5. Monduli            Idd Hassan Kimanta
  6. Karatu            Therezia Jonathan Mahongo
DAR ES SALAAM
  1. Kinondoni           Ally Hapi
  2. Ilala           Sophia Mjema
  3. Temeke            Felix Jackson Lyaviva
  4. Kigamboni            Hashim Shaibu Mgandilwa
  5. Ubungo            Hamphrey Polepole
DODOMA
  1. Chamwino           Vumilia Justine Nyamoga
  2. Dodoma            Christina Solomon Mndeme
  3. Chemba            Simon Ezekiel Odunga
  4. Kondoa           Sezeria Veneranda Makutta
  5. Bahi            Elizabeth Simon
  6. Mpwapwa            Jabir Mussa Shekimweli
  7. Kongwa            John Ernest Palingo
GEITA
  1. Bukombe            Josephat Maganga
  2. Mbogwe            Matha John Mkupasi
  3. Nyang'wale       Hamim Buzohera Gwiyama
  4. Geita            Herman C. Kipufi
  5. Chato            Shaaban Athuman Ntarambe
IRINGA
  1. Mufindi        Jamhuri David William
  2. Kilolo            Asia Juma Abdallah
  3. Iringa            Richard Kasesela
KAGERA
  1. Biharamulo            Saada Abraham Mallunde
  2. Karagwe            Geofrey Muheluka Ayoub
  3. Muleba            Richard Henry Ruyango
  4. Kyerwa            Shaban Ilangu Lissu
  5. Bukoba            Deodatus Lucas Kinawilo
  6. Ngara            Col. Michael M. Mtenjele
  7. Missenyi            Col Denis F. Mwila
KATAVI
  1. Mlele            Rachiel Stephano Kasanda
  2. Mpanda            Lilian Charles Matinga
  3. Tanganyika            Saleh Mbwana Mhando
KIGOMA
  1. Kigoma            Samsoni Renard Anga
  2. Kasulu                        Martin Elia Mkisi
  3. Kakonko            Hosea Malonda Ndagala
  4. Uvinza                        Mwanamvua Hoza Mlindoko
  5. Buhigwe            Elisha Marco Gagisti
  6. Kibondo            Luis Peter Bura
KILIMANJARO
  1. Siha            Onesmo Buswelu
  2. Moshi        Kippi Warioba
  3. Mwanga     Aaron Yeseya Mmbago
  4. Rombo       Fatma Hassan Toufiq
  5. Hai            Gelasius Byakanwa
  6. Same        Rosemary Senyamule Sitaki
LINDI
  1. Nachingwea           Rukia Akhibu Muwango
  2. Ruangwa            Joseph Joseph Mkirikiti
  3. Liwale            Sarah Vicent Chiwamba
  4. Lindi            Shaibu Issa Ndemanga
  5. Kilwa            Christopher Emil Ngubiagai
MANYARA
  1. Babati            Raymond H. Mushi
  2. Mbulu            Chelestion Simba M. Mofungu
  3. Hanang�            Sara Msafiri Ally
  4. Kiteto            Tumaini Benson Magessa
  5. Simanjiro            Zephania Adriano Chaula
MARA
  1. Rorya            Simon K. Chacha
  2. Serengeti            Emile Yotham Ntakamulenga
  3. Bunda            Lydia Simeon Bupilipili
  4. Butiama            Anarose Nyamubi
  5. Tarime            Glodious Benard Luoga
  6. Musoma            Vicent Anney Naano
MBEYA
  1. Chunya            Rehema Manase Madusa
  2. Kyela            Claudia Undalusyege Kitta
  3. Mbeya           William Ntinika Paul
  4. Rungwe            Chalya Julius Nyangidu
  5. Mbarali            Reuben Ndiza Mfune
MOROGORO
  1. Gairo            Siriel Shaid Mchembe
  2. Kilombero            James Mugendi Ihunyo
  3. Mvomero            Mohamed Mussa Utali
  4. Morogoro            Regina Reginald Chonjo
  5. Ulanga                        Kassema Jacob Joseph
  6. Kilosa            Adam Idd Mgoyi
  7. Malinyi            Majula Mateko Kasika
MTWARA
  1. Newala            Aziza Ally Mangosongo
  2. Nanyumbu            Joakim Wangabo
  3. Mtwara            Khatibu Malimi Kazungu
  4. Masasi            Seleman Mzee Seleman
  5. Tandahimba            Sebastian M. Walyuba
MWANZA
  1. Ilemela            Leonald Moses Massale
  2. Kwimba            Mhandisi Mtemi Msafiri Simeon
  3. Sengerema            Emmanuel Enock Kipole
  4. Nyamagana            Mary Tesha Onesmo
  5. Magu            Hadija Rashid Nyembo
  6. Ukerewe            Estomihn Fransis Chang�ah
  7. Misungwi            Juma Sweda
NJOMBE
  1. Njombe            Ruth Blasio Msafiri
  2. Ludewa                        Andrea Axwesso Tsere
  3. Wanging�ombe            Ally Mohamed Kassige
  4. Makete                        Veronica Kessy
PWANI
  1. Bagamoyo            Alhaji Majid Hemed Mwanga
  2. Mkuranga            Filberto H. Sanga
  3. Rufiji            Juma Abdallah Njwayo
  4. Mafia            Shaibu Ahamed Nunduma
  5. Kibaha            Asumpter Nsunju Mshama
  6. Kisarawe            Happyness Seneda William
  7. Kibiti            Gulamu Hussein Shaban Kifu
RUKWA
  1. Sumbawanga            Khalfan Boniface Haule
  2. Nkasi            Said Mohamed Mtanda
  3. Kalambo            Julieth Nkembanyi Binyura
RUVUMA
  1. Namtumbo            Luckness Adrian Amlima
  2. Mbinga            Cosmas Nyano Nshenye
  3. Nyasa            Isabera Octava Chilumba
  4. Tunduru            Juma Homela
  5. Songea            Polet Kamando Mgema
SHINYANGA
  1. Kishapu            Nyambonga Daudi Taraba
  2. Kahama            Fadhili Nkulu
  3. Shinyanga            Josephine Rabby Matiro
SIMIYU
  1. Busega            Tano Seif Mwera
  2. Maswa            Sefu Abdallah Shekalaghe
  3. Bariadi            Festo Sheimu Kiswaga
  4. Meatu            Joseph Elieza Chilongani
  5. Itilima            Benson Salehe Kilangi
SINGIDA
  1. Mkalama            Jackson Jonas Masako
  2. Manyoni            Mwembe Idephonce Geofrey
  3. Singida            Elias Choro John Tarimo
  4. Ikungi            Fikiri Avias Said
  5. Iramba            Emmanuel Jumanne Luhahula
SONGWE
  1. Songwe            Samwel Jeremiah
  2. Ileje            Joseph Modest Mkude
  3. Mbozi            Ally Masoud Maswanya
  4. Momba            Juma Said Irando
TABORA
  1. Nzega            Geofrey William Ngudula
  2. Kaliua            Busalama Abel Yeji
  3. Igunga            Mwaipopo John Gabriel
  4. Sikonge            Peres Boniphace Magiri
  5. Tabora            Queen Mwashinga Mlozi
  6. Urambo            Angelina John Kwingwa
  7. Uyui            Gabriel Simon Mnyele
TANGA
  1. Tanga            Thobias Mwilapwa
  2. Muheza            Mhandisi Mwanaisha Rajab Tumbo
  3. Mkinga            Yona Lucas Maki
  4. Pangani            Zainab Abdallah Issa
  5. Handeni            Godwin Crydon Gondwe
  6. Korogwe            Robert Gabriel
  7. Kilindi            Sauda Salum Mtondoo
  8. Lushoto            Januari Sigareti Lugangika
Wakuu wote wa Wilaya walioteuliwa wanapaswa kufika Ikulu Dar es salaam siku ya Jumatano tarehe 29 Juni, 2016 saa tatu kamili asubuhi kwa ajili ya kiapo cha maadili ya uongozi na maelekezo mengine kabla ya kuapishwa na wakuu wa mikoa watakaporejea katika mikoa yao.


Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Dar es salaam
26 Juni, 2016

Comments