Taarifa
kutoka Ikulu ya Tanzania leo June 26 inasema Rais John Pombe Magufuli amefanya
mabadiliko kwenye nafasi za wakuu wa Mikoa pamoja na wakuu wa Wilaya,kwenye
mabadiiko hayo amewateua jumla ya wakuu wa wilaya 139.
Mabadiliko haya yanamhusu aliyekua
mkuu wa Wilaya ya Sengerema Bi.Zainab R. Telack kuwa mkuu mkoa wa Shinyanga
ambaye anajaza nafasi iliyoachwa wazi na aliyekua mkuu wa Mkoa wa
Shinyanga Bi.Anna Kilango Malecela.
Mwingine aliyehusishwa na mabadiliko
haya ni pamoja na Dkt Binilith Satano Mahenge kuwa mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Dkt.
Satano anajaza nafasi ilyoachwa wazi na aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Ruvuma
Bw.Said Thabit Mwambungu ambaye amehamishiwa Ofisi ya Waziri Mkuu Dar es salaam
ambapo atapangiwa majukumu mengine.
Mwingine aliyeteuliwa ni Dkt.
Charles F Mlingwa ambaye ameteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa wa Mara na anajaza
nafasi iliyoachwa wazi na Bw.Stanslaus Magesa Mulongo ambaye uteuzi wake
ulitenguliwa.
Ifuatayo ni orodha wakuu wa
Wilaya wapya na wilaya zao.
Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Dar es salaam
26 Juni, 2016
- Arusha Mrisho Mashaka Gambo
- Arumeru Alexander Pastory Mnyeti
- Ngorongoro Rashid Mfaume Taka
- Longido Daniel Geofrey Chongolo
- Monduli Idd Hassan Kimanta
- Karatu Therezia Jonathan Mahongo
- Kinondoni Ally Hapi
- Ilala Sophia Mjema
- Temeke Felix Jackson Lyaviva
- Kigamboni Hashim Shaibu Mgandilwa
- Ubungo Hamphrey Polepole
- Chamwino Vumilia Justine Nyamoga
- Dodoma Christina Solomon Mndeme
- Chemba Simon Ezekiel Odunga
- Kondoa Sezeria Veneranda Makutta
- Bahi Elizabeth Simon
- Mpwapwa Jabir Mussa Shekimweli
- Kongwa John Ernest Palingo
- Bukombe Josephat Maganga
- Mbogwe Matha John Mkupasi
- Nyang'wale Hamim Buzohera Gwiyama
- Geita Herman C. Kipufi
- Chato Shaaban Athuman Ntarambe
- Mufindi Jamhuri David William
- Kilolo Asia Juma Abdallah
- Iringa Richard Kasesela
- Biharamulo Saada Abraham Mallunde
- Karagwe Geofrey Muheluka Ayoub
- Muleba Richard Henry Ruyango
- Kyerwa Shaban Ilangu Lissu
- Bukoba Deodatus Lucas Kinawilo
- Ngara Col. Michael M. Mtenjele
- Missenyi Col Denis F. Mwila
- Mlele Rachiel Stephano Kasanda
- Mpanda Lilian Charles Matinga
- Tanganyika Saleh Mbwana Mhando
- Kigoma Samsoni Renard Anga
- Kasulu Martin Elia Mkisi
- Kakonko Hosea Malonda Ndagala
- Uvinza Mwanamvua Hoza Mlindoko
- Buhigwe Elisha Marco Gagisti
- Kibondo Luis Peter Bura
- Siha Onesmo Buswelu
- Moshi Kippi Warioba
- Mwanga Aaron Yeseya Mmbago
- Rombo Fatma Hassan Toufiq
- Hai Gelasius Byakanwa
- Same Rosemary Senyamule Sitaki
- Nachingwea Rukia Akhibu Muwango
- Ruangwa Joseph Joseph Mkirikiti
- Liwale Sarah Vicent Chiwamba
- Lindi Shaibu Issa Ndemanga
- Kilwa Christopher Emil Ngubiagai
- Babati Raymond H. Mushi
- Mbulu Chelestion Simba M. Mofungu
- Hanang� Sara Msafiri Ally
- Kiteto Tumaini Benson Magessa
- Simanjiro Zephania Adriano Chaula
- Rorya Simon K. Chacha
- Serengeti Emile Yotham Ntakamulenga
- Bunda Lydia Simeon Bupilipili
- Butiama Anarose Nyamubi
- Tarime Glodious Benard Luoga
- Musoma Vicent Anney Naano
- Chunya Rehema Manase Madusa
- Kyela Claudia Undalusyege Kitta
- Mbeya William Ntinika Paul
- Rungwe Chalya Julius Nyangidu
- Mbarali Reuben Ndiza Mfune
- Gairo Siriel Shaid Mchembe
- Kilombero James Mugendi Ihunyo
- Mvomero Mohamed Mussa Utali
- Morogoro Regina Reginald Chonjo
- Ulanga Kassema Jacob Joseph
- Kilosa Adam Idd Mgoyi
- Malinyi Majula Mateko Kasika
- Newala Aziza Ally Mangosongo
- Nanyumbu Joakim Wangabo
- Mtwara Khatibu Malimi Kazungu
- Masasi Seleman Mzee Seleman
- Tandahimba Sebastian M. Walyuba
- Ilemela Leonald Moses Massale
- Kwimba Mhandisi Mtemi Msafiri Simeon
- Sengerema Emmanuel Enock Kipole
- Nyamagana Mary Tesha Onesmo
- Magu Hadija Rashid Nyembo
- Ukerewe Estomihn Fransis Chang�ah
- Misungwi Juma Sweda
- Njombe Ruth Blasio Msafiri
- Ludewa Andrea Axwesso Tsere
- Wanging�ombe Ally Mohamed Kassige
- Makete Veronica Kessy
- Bagamoyo Alhaji Majid Hemed Mwanga
- Mkuranga Filberto H. Sanga
- Rufiji Juma Abdallah Njwayo
- Mafia Shaibu Ahamed Nunduma
- Kibaha Asumpter Nsunju Mshama
- Kisarawe Happyness Seneda William
- Kibiti Gulamu Hussein Shaban Kifu
- Sumbawanga Khalfan Boniface Haule
- Nkasi Said Mohamed Mtanda
- Kalambo Julieth Nkembanyi Binyura
- Namtumbo Luckness Adrian Amlima
- Mbinga Cosmas Nyano Nshenye
- Nyasa Isabera Octava Chilumba
- Tunduru Juma Homela
- Songea Polet Kamando Mgema
- Kishapu Nyambonga Daudi Taraba
- Kahama Fadhili Nkulu
- Shinyanga Josephine Rabby Matiro
- Busega Tano Seif Mwera
- Maswa Sefu Abdallah Shekalaghe
- Bariadi Festo Sheimu Kiswaga
- Meatu Joseph Elieza Chilongani
- Itilima Benson Salehe Kilangi
- Mkalama Jackson Jonas Masako
- Manyoni Mwembe Idephonce Geofrey
- Singida Elias Choro John Tarimo
- Ikungi Fikiri Avias Said
- Iramba Emmanuel Jumanne Luhahula
- Songwe Samwel Jeremiah
- Ileje Joseph Modest Mkude
- Mbozi Ally Masoud Maswanya
- Momba Juma Said Irando
- Nzega Geofrey William Ngudula
- Kaliua Busalama Abel Yeji
- Igunga Mwaipopo John Gabriel
- Sikonge Peres Boniphace Magiri
- Tabora Queen Mwashinga Mlozi
- Urambo Angelina John Kwingwa
- Uyui Gabriel Simon Mnyele
- Tanga Thobias Mwilapwa
- Muheza Mhandisi Mwanaisha Rajab Tumbo
- Mkinga Yona Lucas Maki
- Pangani Zainab Abdallah Issa
- Handeni Godwin Crydon Gondwe
- Korogwe Robert Gabriel
- Kilindi Sauda Salum Mtondoo
- Lushoto Januari Sigareti Lugangika
Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Dar es salaam
26 Juni, 2016
Comments
Post a Comment