Basi la Mwendo Kasi Lagonga na Kuua Mtoto Jijini Dar es Salaam

Basi la mwendo kasi ( DART)  limemgonga na kumuua mtoto huku mama yake akinusurika baada ya pikipiki waliyokuwa wamepanda kushindwa kulipita basi hilo

Ajali hiyo imetoke leo katika  eneo la Shekilango jijini Dar es Sallam.
Pikipiki iliyohusika kwenye ajali hiyo

Comments