ZIARA YA WAZIRI MKUU KASIM MAJALIWA,CHATO NA KATORO MKOANI GEITA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasha gari la wagonjwa likiwa ni moja kati ya mawili yaliyotolewa msaada na Bibi Merete Trolle wa Denmark akisaidiwa kulisafilisha had hapa nchini na Mgodi wa Geita Gold Mine. Makabidhiano hayo yalifanyika. kwenye hospitali ya wilaya ya Chato Machi 16.2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasha gari la wagonjwa likiwa ni moja kati ya mawili yaliyotolewa msaada na Bibi Merete Trolle wa Denmark akisaidiwa kulisafilisha had hapa nchini na Mgodi wa Geita Gold Mine. Makabidhiano hayo yalifanyika. kwenye hospitali ya wilaya ya Chato Machi 16.2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wanachama wa Ushirika wa kiwanda
cha kuchambua pamba cha Biharamulo Cooperative Union mjini Chato ,Machi
16, 2016.
Waziri Mkuu, Kasim Majaliiwa akihutubia mkutano wa hadhara mjini Chato , Machi 16, 2016.
Wasani
wa Katoro Geita wakicheza ngoma ya Kisukuma wakati Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa alipohutubia mkutano wa hadhara kijijini hapo Machi 17, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia Mkutano wa hadhara katika mji wa Katoro , Geita Machi 17, 2016.
Comments
Post a Comment