![]() |
| MDAU AKITOA UFAFANUZI KWA MHESHIMIWA MBUNGE JUU YA JOSHO HILO LA MIFUGO |
MH Mbunge Doto Biteko alipofanya ziara jimboni kwake kwenye kata ya Iyogelo tarehe 01.03.2016,pamoja na mambo mengi aliyo yafanya katika ziara yake hiyo pia alizindua josho la kuoshea mifugo.
![]() |
| MH MBUNGE DOTO BITEKO WA PILI KULIA AKISIKILIZA KERO ZA WANANCHI WA IYOGERO |
![]() |
| MH MBUNGE DOTO BITEKO AKIPOKEWA NAWANANCHI WA KATA YA IYOGERO |



Comments
Post a Comment