ZIARA YA MBUNGE WA BUKOMBE MH DOTO BITEKO KWENYE KATA YA IYOGERO

MDAU AKITOA UFAFANUZI KWA MHESHIMIWA MBUNGE JUU YA JOSHO HILO LA MIFUGO
MH Mbunge Doto Biteko alipofanya ziara jimboni kwake kwenye kata ya Iyogelo tarehe 01.03.2016,pamoja na mambo mengi aliyo yafanya katika ziara yake hiyo pia alizindua josho la kuoshea mifugo.

MH MBUNGE DOTO BITEKO WA PILI KULIA AKISIKILIZA KERO ZA WANANCHI WA IYOGERO
MH MBUNGE DOTO BITEKO AKIPOKEWA NAWANANCHI WA KATA YA IYOGERO



Comments