Wapendwa tuna tatizo kubwa la madawati kwenye wilaya yetu ya Bukombe.
Mchanganuo ufuatao unaonyesha hali halisi ya mahitaji:
Elimu Awali
Mahitaji 8,268
Yaliyopo 288
Upungufu 8,080
Shule za msingi
Mahitaji 16,307
Yaliyopo 7,498
Upungufu 8,809
Shule za Sekondari
Mahitaji 8,312
Yaliyopo 5,225
Upungufu 3,123
Jumla ya Mahitaji yote ni Madawati 20,012
(Source: Bukombe DC)
Tumepata msaada madawati 400 na tumeyagawanya kwa kuangalia shule msingi zenye hali mbaya zaidi. Mgawanyo huo ni kama ifuatavyo:
Kwa wapenda Bukombe waliopo Bukombe na Nje ya Bukombe Tunawaomba kama wadau wa elimu pia kujitokeza kusadia kumaliza changamoto hii.
Mchanganuo ufuatao unaonyesha hali halisi ya mahitaji:
Elimu Awali
Mahitaji 8,268
Yaliyopo 288
Upungufu 8,080
Shule za msingi
Mahitaji 16,307
Yaliyopo 7,498
Upungufu 8,809
Shule za Sekondari
Mahitaji 8,312
Yaliyopo 5,225
Upungufu 3,123
Jumla ya Mahitaji yote ni Madawati 20,012
(Source: Bukombe DC)
Tumepata msaada madawati 400 na tumeyagawanya kwa kuangalia shule msingi zenye hali mbaya zaidi. Mgawanyo huo ni kama ifuatavyo:
- Ibamba S/M (Kata ya Uyovu) Madawati 100
- Nampalahala S/M (Kata ya Busozo) Madawati 50
- Azimio S/M (Kata ya Bulangwa) Madawati 50
- Namonge S/M (Kata ya Namonge) Madawati 100
- Nyikonga S/M (Kata ya Bulega) Madawati 50
- Msangila S/M (Kata ya R/Magharibi) Madawati 50
Kwa wapenda Bukombe waliopo Bukombe na Nje ya Bukombe Tunawaomba kama wadau wa elimu pia kujitokeza kusadia kumaliza changamoto hii.
ELIMU KWA WATOTO WETU NDIYO URITHI WA KWELI
Comments
Post a Comment