Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Joseph Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli pamoja na viongozi wa mkoa wa Mwanza wakijipatia chakula cha mchana katika mgahawa wa Victoria uliopo nje ya Uwanja wa Ndege wa Mwanza alipopumzika kwa muda kabla ya kuelekea nyumbani kwake Chato mkoani Geita kwa mapumziko mafupi. Pamoja nao mezani hapo ni Meya wa Ilemela Mstahiki Renatus Mulunga, Meya wa jiji la Mwanza Mstahiki James Bwire, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe John Mongella na Mwenyekiti wa CCM Mkoa huo Ndg Anthony Diallo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Joseph Pombe Magufuli na
mkewe Mama Janeth Magufuli pamoja na viongozi wa mkoa wa Mwanza
wakiondoka baada ya kupata chakula cha mchana katika mgahawa wa
Victoria uliopo nje ya Uwanja wa Ndege wa Mwanza alipopumzika kwa muda
kabla ya kuelekea nyumbani kwake Chato mkoani Geit kwa mapumziko
mafupi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Joseph Pombe Magufuli na
mkewe Mama Janeth Magufuli pamoja na viongozi wa mkoa wa Mwanza wakiwa
katika picha ya pamopja na kwaya ya Vijana ya Makongoro na viongozi wa
dini katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza alipopumzika kwa muda kabla ya
kuelekea nyumbani kwake Chato mkoani Geita kwa mapumziko mafupi.
PICHA NA IKULU.
Comments
Post a Comment