Picha kutokea Zanzibar kwenye uchaguzi wa Marudio, hali ya utulivu ikoje?, Rais Shein?


Leo march 20 2016 Wananchi wa Zanzibar wamepata fursa ya kupiga kura na kuwachagua viongozi wao, na hii ni baada ya kufutwa kwa uchaguzi wa awali uliofanyika october 25 2016.
Viongozi mbalimbali pia wamejitokeza na kutumia nafasi hiyo akiwemo Rais wa Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein, Makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu na wengine



IMG-20160320-WA0034
Rais Dk.Ali Mohamed Shein akipiga kura
IMG-20160320-WA0031
.
IMG-20160320-WA0030
Rais Dk.Ali Mohamed Shein katika foleni kusubiri kupiga kura
IMG-20160320-WA0029
IMG-20160320-WA0028
Wananchi wakisubiri kupiga kura
IMG-20160320-WA0026
.
IMG-20160320-WA0021
Makamau wa Rais Samia Suluhu akipiga kura
IMG-20160320-WA0011

IMG-20160320-WA0002
IMG-20160320-WA0016
Rais Shein akihakiki jina lake

Chanzo; Msombe TZA

Comments