MRADI WA MIVARF WAANZA KUTEKELEZWA WILAYA YA BUKOMBE

MH MBUNGE DOTO BITEKO WA PILI KULIA AKISILIZA UTEKELEZWAJI WA MRADI WA MIVARF KATIKA JIMBO LAKE.
Mradi wa MIVARF umeanza kutekelezwa wilaya ya Bukombe ambapo utajenga soko la kisasa la Namonge pamoja na kujenga barabara ya ya kutoka Uyovu -Kabagole-Nakayenze.

UWASILISHWAJI UKIENDELEA KUFANYIKA JUU YA MRADI WA MIVARF.


MWEZESHAJI AKIZIDI KUFANYA UWASILISHAJI JUU YA MRADI HUO



WADAU MBALIMBALI WAKIFUATILIA UWASILISHAJI WA MRADI WA MIVARF WILAYANI BUKOMBE

Comments