![]() |
| MH MBUNGE DOTO BITEKO WA PILI KULIA AKISILIZA UTEKELEZWAJI WA MRADI WA MIVARF KATIKA JIMBO LAKE. |
Mradi wa MIVARF umeanza kutekelezwa wilaya ya Bukombe ambapo utajenga soko la kisasa la Namonge pamoja na kujenga barabara ya ya kutoka Uyovu -Kabagole-Nakayenze.
![]() | |||
| UWASILISHWAJI UKIENDELEA KUFANYIKA JUU YA MRADI WA MIVARF. |
![]() | |||
| MWEZESHAJI AKIZIDI KUFANYA UWASILISHAJI JUU YA MRADI HUO |
![]() |
| WADAU MBALIMBALI WAKIFUATILIA UWASILISHAJI WA MRADI WA MIVARF WILAYANI BUKOMBE |




Comments
Post a Comment