KAIMU KAMISHNA WA MAADILI AWAAPISHA KIAPO CHA UADILIFU WAKUU WA WILAYA WATEULE WA WILAYA ZA MTWARA NA UBUNGO.
Kaimu
Kamishna wa Maadili Bw. Waziri Yahaya Kipacha akiwaapisha Wakuu wa
Wilaya wateule Mhe. Kisare M. Makori (Ubungo) na Mhe. Evod Mmanda Herman
(Mtwara) kiapo cha Uadilifu katika Ofisi za Sekretarieti ya Maadili ya
Viongozi wa Umma jijini Dar es Salaam.
Kaimu Kamishna wa Maadili Bw. Waziri Yahaya Kipacha leo amewaapisha Kiapo
cha Uadilifu Wakuu wa Wilaya Wateule Mhe. Evod Mmanda Herman (Mtwara)
na Mhe Kisare M. Makori (Ubungo) katika Ofisi za Sekretarieti ya Maadili
ya Viongozi wa Umma jijini Dar es Salaam.
Picha zote na Ally Mataula – Afisa Habari – Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
Kaimu
Kamishna wa Maadili Bw. Waziri Yahaya Kipacha akimpongeza Mkuu wa
Wilaya ya Mtwara Mteule Mhe. Evod Mmanda Herman mara baada ya tukio la
kiapo cha Uadilifu lililofanyika katika Ofisi za Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma jijini Dar es Salaam.
Kaimu
Kamishna wa Maadili Bw. Waziri Yahaya Kipacha akimpongeza Mkuu wa
Wilaya ya Ubungo Mteule Mhe. Evod Mmanda Herman mara baada ya tukio la
kiapo cha Uadilifu lililofanyika katika Ofisi za Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma jijini Dar es Salaam.
Mkuu
wa Wilaya ya Mtwara Mteule Mhe. Evod Mmanda Herman kulia na Mkuu wa
Wilaya ya Ubungo Mteule Mhe Kisare M. Makori wakisaini Hati zao za
Uadilifu mara baada ya kula kiapo cha Uadilifu mbele ya Kaimu Kamishna
wa Maadili Bw. Waziri Yahaya Kipacha katika Ofisi za Sekretarieti ya
Maadili ya Viongozi wa Umma jijini Dar es Salaam.
Kaimu
Kamishna wa Maadili Bw. Waziri Yahaya Kipacha kushoto aliyesimama
akizungumza na Wakuu wa Wilaya Wateule Mhe. Evod Mmanda Herman (Mtwara)
wa kwanza kulia aliyekaa na Mhe. Kisare M. Makori (Ubungo) wa pili kulia
aliyekaa mara baada ya tukio la kiapo cha Uadilifu lililofanyika
katika Ofisi za Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma jijini Dar
es Salaam.
Comments
Post a Comment